Na Marco Maduhu,SHINYANGA
MKUU wa wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro,alishiriki kupiga kura, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29,2025.
Amesema ameshiriki kupiga kura na kutumia haki yake ya kikatiba, kuwachagua viongozi anaowataka.
Oktoba 29,2025 ilikuwa ni siku ya Uchaguzi Mkuu kwa wananchi kupiga kura na kuwachagua Madiwani,Wabunge na Rais ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano 2025-2030.














