` EMMANUEL NTOBI ALIVYOSHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 29

EMMANUEL NTOBI ALIVYOSHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA 29

Na Marco Maduhu,SHINYANGA

Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha ACT-Wazalendo Emmanuel Ntobi, alivyoshiriki kupiga kura katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.

Alipiga kura katika kituo cha Magadula B kilichopo Kata ya Ngokolo.

Oktoba 29,2025 ilikuwa ni siku ya Uchaguzi Mkuu kwa wananchi kupiga kura na kuwachagua Madiwani,Wabunge na Rais ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano 2025-2030.
 
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464