WATUMISHI 1,477 WASIMAMISHWA KAZI
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmksVYD-GXatLFTfY4l5dNWxbsBnQEOks9npVkeaudN2k1OUSe3HqkRsjDkE5sq5oMJdY1GFKQKwHvkNvPoda6Ycc59ePO0aQO98M8gNXH32N7G7SpM793OlBHcVqo7nIUeg73yoxcKmNVBemL08vXaNhev6PGTf7g9UpClxeHBMgmJSZVzq8QKqZWKg/w640-h426/watumishi-pic-data.jpg)
Ndejembi ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 11, 2022 wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi.
Kunambi ameuliza namna mashauri yanayoendelea kusikilizwa na Tume ya Utumishi wa Umma yanachukua muda mrefu sana.
“Nini mkakati wa Serikali kuhakikisha kuwa mashauri haya yanakamilika kwa wakati?,”amehoji Kunambi.
SOMA HAPA ZAIDI CHANZO MWANANCHI.
0 Comments