` NILIKUWA NIMEBAKISHA MIEZI MITATU NIJIFUNGUE

NILIKUWA NIMEBAKISHA MIEZI MITATU NIJIFUNGUE


Nilikuwa nimebakisha miezi mitatu nijifungue ndipo mume wangu akatoroka nyumbani.

Kwa kawaida mwanamke akiwa mjamzito huhitaji kuonyeshwa upendo kwa hali yoyote ile kwani wakati huo yeye hupitia ugumu wa kumlea kiumbe aliyetumboni, anapaswa kuwa karibu haswa na mume wake kwani mimba huwa baina ya watu wawili kila mara.
Hii ilikuwa tofauti kabisa na mume wangu ambapo nilikuwa mjammzito wa miezi sita na hapo mambo yalichacha katika ndoa yetu ambapo singeweza kushiriki naye tendo la ndoa.

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464