Na Marco Maduhu,KISHAPU
MJUMBE wa Mkutano Mkuu CCM Mkoa wa Shinyanga kupitia Kata ya Ukenyenge wilayani Kishapu Bonda William Nkinga,amechukua Fomu na kuirudisha,ya kuomba ridhaa ya Chama chake,kumteuwa kugombea Ubunge Jimbo la Kishapu katika Uchaguzi Mkuu 2025.
Amechukua na kuirudisha Fomu hiyo leo Julai 1,2025, katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kishapu, chini ya Katibu wa CCM wilaya hiyo Peter Mashenji.
Amesema, endapo akipata ridhaa ya
Chama Chake kuwa Mbunge wa Jimbo la Kishapu,atawatumikia wananchi na kuwaletea
mabadiliko chanya ya kimaendeleo,na kwamba anauzoefu ndani ya Chama na
Serikali.
TAZAMA PICHA👇👇