TAZAMA PICHA VIKOSI MBALIMBALI VYA JESHI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANZANIA BARA
Thursday, December 09, 2021
VIKOSI MBALIMBALI VYA JESHI KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WA TANZANIA BARA
Vikosi
mbalimbali vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ vikipita
Kikakamavu mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri
Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya
Uhuru wa Tanzania Bara katika Sherehe zilizofanyika katika uwanja wa
Uhuru Jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Desemba, 2021.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464
TAFUTA HABARI
AFRICA HEALTH AGENDA
DONATE: CRDB BANK ACCOUNT-01J2058535400, PIGA NAMBA-0788 -469464