` MAJINA YA WAGOMBEA UMEYA NA WENYEVITI HALMASHAURI MKOA SHINYANGA

MAJINA YA WAGOMBEA UMEYA NA WENYEVITI HALMASHAURI MKOA SHINYANGA

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI ZA MAMEYA NA WENYEVITI WA HALMASHAURI ZA WILAYA

Tarehe: 30 Novemba 2025


Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga unawataarifu wanachama, wadau na wananchi wote kuwa Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Ndugu Kenan Laban Kihongosi, ametangaza rasmi majina ya wagombea wa CCM waliopitishwa kuwania nafasi za Mameya wa Majiji na Manispaa, pamoja na Wenyeviti wa Halmashauri za Wilaya kwa Mkoa wa Shinyanga.

Uteuzi huu umetokana na Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Zanzibar tarehe 29 Novemba 2025, chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

1. MANISPAA


1. Manispaa ya Shinyanga


2. Reuben Nonga KITINYA


3. Salum Shaban KITUMBO


4. Ezekiel John SABO


Manispaa ya Kahama


1. Mataluma Kanuda KANIKI


2. Yahya Ramadhan BUNDALA


3. Abelo Juma MABAO


2. HALMASHAURI ZA WILAYA


1. Wilaya ya Shinyanga Vijijini


2. Seth Anthony MSANGWA


3. Jumanne Rajabu ITUNGU


2. Lydia Winga PIUS


Wilaya ya Msalala


1. Mibako Lugalila MABUBU


2. John Mtwana MAHONA


Wilaya ya Ushetu


1. Gagi Lala GAGI


Wilaya ya Kishapu


1. Hamza Yusuph TANDIKO


2. Josephat Limbe EMMANUEL


SOMA HAPA ZAIDI CHANZO MALUNDE1BLOG
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464