MSAADA WA MATIBABU YA MGUU
Na Mwandishi Wetu
Anaomba msaada wa matibabu ya mguu wake,pamoja na magongo ya kutembelea ili asiendelee kupata maumivu.
Anaeleza kuwa, Mguu wake kwa mujibu wa Madaktari kwamba una Kansa na unatakiwa kukatwa,lakini kwa sasa amewekewa chuma ndani ya mguu wake, chuma ambayo anadai ina muumiza na imetengeza shimo na kutoa maji muda wote, shimo hilo kwa sasa ameliziba na daso.
Anasema anapokuwa akitembea anasikia maumivu makali, ambapo anaomba msaada wa kupata magongo ya kutembelea.
Kwa msaada zaidi wasiliana na mdogo wake Masunga
Mayuma
