
Nilisumbuliwa sana na mmba wa ngozi kichwani ila Sasa nimepona Kwa mimea
Nuru Alikuwa Mwanamka mchanamfu, Mwenye roho ya upendo na zabuni ya maisha. Alizaliwa na Kulelewa Katika Mji wa Moshi, Mji Uliojuaa Mandhari ya Kuvutia na Hewa Safi Kutoka Milima Ya Kilimanjaro. Maisha Yake Yalikuwa Ya Kawaida Kama Wanawake Wengi wa Kimasai wa Mjini -Alikua Akijishughulisha Na Biashara wa Ndogo Ndogo, Hasa Kuuza vitenge na Mapambo Ya Asili Sokono.
Lakini Nyuma ya Tabasamu Lake La Kuvutia, Nuru Alikuwa Akipambana na Changamoto Kubwa Ya Kiafya. Kwa muda wa miaka mitatu, Alikuwa Akisumbuliwa na mmba sugu katika ngozi ya Kichwa. MMBA HUO ulisabaBisha muwasho Mkali, Uchafu wa nywele, na harufu isiyopendeza. Nywele Zake Zilianza Kupukutika, na Alijikuta Akijificha Kila Mara Kwa Kuvaaataa Kichwani Hata Katika Joto Kali.
ALIENDA HOSPORi MBALIMBALI -ZE Serikali Na Binafsi. Alijaribu Dawa za Kisasa, Shampoo Za Gharama Kubwa, Na Hata Ushauri Wa Wataalamu Wa Ngozi. Lakini Hali Yake Haikubadilika. Wengine Walimshauri Kuwa Ni Laana au Mapepo, Jambo Lililomfanya Kujaribu HATA NJIA ZA KIENYEJI NA MAOMBI YA USIKU KUCHA. Lakini Bado, Mmba huo Ulindelea Kumtesa