` NILIJUA NIMEPOTEZA UWEZO WA KUZAA

NILIJUA NIMEPOTEZA UWEZO WA KUZAA


Nilijua Nimepoteza Uwezo wa Kuzaa Lakini Leo Tunapanga Jina la Mtoto Wetu wa Pili

Kuna maumivu ambayo hayaonekani kwa macho, lakini huuma rohoni kila siku. Kwa muda wa miaka sita, kila mwezi uliopita bila ujauzito ulijenga ukuta wa huzuni moyoni mwangu.

Niliolewa nikiwa na miaka 27, na kama wanawake wengi, nilikuwa na ndoto ya kuwa mama mara tu baada ya ndoa. Lakini miezi ikawa miaka, na kila matokeo ya “negative” kwenye kipimo cha ujauzito yalikuwa kama kisu moyoni.

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464