` FELISTA JOSEPH ENDREW ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UDIWANI KATA YA NGOKOLO

FELISTA JOSEPH ENDREW ACHUKUA FOMU YA KUWANIA UDIWANI KATA YA NGOKOLO




Na Suzy Butondo, Shinyanga

FELISTA JOSEPH ENDREW achukua fomu ya kuwania Udiwani Kata ya Ngokolo katika wilaya ya Shinyanga mjini

FELISTA JOSEPH ENDREW amechukua fomu leo june 30 katika ofisi ya kata ya Ngokolo wilaya ya Shinyanga mjini






Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464