` MBINU YA KUZISHIKA FEDHA NA KUBAKI NAZO KWA MUDA MREFU

MBINU YA KUZISHIKA FEDHA NA KUBAKI NAZO KWA MUDA MREFU


Mbinu ya kuzishika fedha na kubakia nazo kwa muda mrefu


Ushawai kujiuliza kwanini watu wengine wanafanikiwa kimaisha huku wewe ukibakia fukara, yaani ni kama vile wewe sio binadamu au haufanyi bidii yoyote katika maisha yako wakati umekuwa ukijituma sana kwenye mambo mengi?.

Kuna watu ambao wamesoma na wana vyeti vya Degree na Diploma lakini hawajawai kufanikiwa kupata kazi yoyote lakini cha kushangaza wapo ambao hawakusoma kabisa ila wana kazi nzuri ajabu, ndivyo maisha yalivyo!.



Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464