` FEDHA ZAKO HAZIWEZI KUISHA KWA URAHISI

FEDHA ZAKO HAZIWEZI KUISHA KWA URAHISI

Fedha zako haziwezi kuisha kwa urahisi ukifanya hili moja tu!

Unajua hakuna jambo linachosha na kuumiza kama kupata fedha, tena fedha nyingi lakini zinakuwa zinaisha bila kuona zimefanya kazi gani hasa, yaani fedha zinakuwa kama zinapita njia kwako tu. Inaumiza sana.


Ndivyo ilivyokuwa na kwangu pia, nilikuwa nafanya kazi na kupokea mshahara kila mwisho wa mwezi, lakini ukiangalia maisha yalivyo, hayana tofauti sana na mtu asiye na kazi!.


Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464