` WEZI WAJIKUTA WAKIPELEKA GARI LA WIZI KITUO CHA POLISI

WEZI WAJIKUTA WAKIPELEKA GARI LA WIZI KITUO CHA POLISI



Duh! wezi wajikuta wakipeleka gari la wizi kituo cha Polisi

Visa vya wizi wa magari vimekuwa vikiripotiwa kwa wingi katika maeneo mbalimbali humu nchini Kenya, kila wiki ningeweza kusikia habari kwenye chombo cha habari kisa kimoja au viwili vikiripotiwa kuhusu wizi wa gari, jambo ambalo sikuchukulia kwa uziri kwani nilidhani ni uongo tu.


Ni hivi majuzi ambapo niliweza kukumbana na wizi huo moja kwa moja baada ya gari laungu aina ya Harrier kuibwa katikati mwa jiji la Nairobi.


Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464