
Tuliishi pamoja na mume wangu Sam katika mji wa Arusha ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi katika kaunti ile. Mume wangu naye alifanya kazi ya uhandisi katika wizara ya ujenzi kwenye mkoa huo.

Maisha yetu yalikuwa ya kutamaniwa kwani hakuna wakati hata moja tuligombana na mume wangu kwani hali ilikiwa shwari kabisa.