` ALIYETOWEKA KWA MIAKA 17 HATIMAYE AREJEA NYUMBANI

ALIYETOWEKA KWA MIAKA 17 HATIMAYE AREJEA NYUMBANI


Aliyetoweka kwa miaka 17 hatimaye arejea nyumbani

Kaka yangu aliondoka nyumbani miaka 17 iliyopita akisema anaenda kutafuta maisha na atarajea kipindi mambo yatapomuendea vizuri lakini miaka ilizidi kukatika bila kurejea nyumbani na kibaya hakuwa kuwasiliana na sisi.
Wazazi wangu tayari walishakuwa wazee, walikuwa wakinituma sehemu mbalimbali niende kumuulizia na kutazama kama yupo huko lakini sikuwahi kufanikiwa.

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464