Header Ads Widget

MIGODI YA BULYANHULU NA NORTH MARA ILIVYOADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Katika kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani 2022, migodi ya Barrick Bulyanhulu na North Mara kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ilidhamini maadhimisho haya sambamba na kuendesha programu za Wananchi kupima afya zao,kupatiwa elimu ya afya sambamba na chanjo dhidi ya UVIKO-19. Pichani Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kanali Colonel Michael Mntenjele, akihutubia wakazi wa Tarime wakati wa maadhimisho hayo.

Mganga Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Dk.Nicolas Mboya akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Tarime,Kanali Colonel Michael Mntenjele kutokana na kampuni kudhamini maadhimisho hayo.
Mtaalamu wa afya akitoa mada kwa Wananchi wa Bugarama wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani.
Wakazi wa kitongoji cha Bugarama wakifuatilia mada za elimu ya afya wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyoandaliwa na Mgodi wa Bulyanhulu.
Wakazi wa kitongoji cha Bugarama wakifuatilia mada za elimu ya afya wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyoandaliwa na Mgodi wa Bulyanhulu.
Baadhi ya Wakazi wa Tarime wakipata ushauri wa afya wakati wa maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Nyamwaga.
Wakazi wa kitongoji cha Bugarama wakifuatilia mada za elimu ya afya wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyoandaliwa na Mgodi wa Bulyanhulu.

Post a Comment

0 Comments