Header Ads Widget

TAZAMA PICHA MDAU WA UTALII ALIVYOMWAGIWA TINDIKALI USONI

Mdau wa utalii amwagiwa ‘tindikali’ Moshi
 Mdau wa utalii na mkazi wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Tariq Awadhi amedai kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa tindikali usoni.

Mwanaume huyo ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) amesema kuwa anadhani aliyemmwagia kimiminika hicho ni mtu wake wa karibu ambaye ni mwanaume.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Yahaya Mdogo amesema kuwa hilo linachunguzwa ili wale waliofanya tukio hilo waweze kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
 SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI.

Post a Comment

0 Comments