Header Ads Widget

MAOFISA WA BOT WALIVYOPIGA BILIONI 3.99 NOTI CHAKAVU


Maofisa BoT wabainika kupiga Sh3.99 bilioni za noti chakavu

Kukosa uadilifu na upungufu wa udhibiti ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kumesababisha hasara ya Sh3.99 bilioni kwa noti ambazo hazikuwa na vigezo vya kuwa chakavu kati ya Januari 2019 hadi Septemba 2019.


Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya Serikali Kuu ilisema noti 399,392 zenye thamani ya Sh3.99 bilioni hazikuwa na vigezo vya kupewa noti mpya na zilipewa noti mpya kwa udanganyifu. Noti hizo ni zaidi ya asilimia 95 ya noti zote chakavu katika kipindi hicho.

“Katika kipindi hcha Januari 2019 hadi Septemba 2019, nilibaini BoT ilipokea noti za Sh4.17 bilioni ambazo ni noti 417,006 za Sh10,000 ambazo zilidaiwa kuwa ni chakavu, ili zibadilishwe na kutolewa noti mpya.

“Udanganyifu uliofanywa na maofisa wawili na watunza fedha wanne wa Benki Kuu,” ilieleza ripoti hiyo.

Ripoti iliendelea kuchanganua kuwa............

 SOMA HAPA ZAIDI CHANZO MWANANCHI.


Post a Comment

0 Comments