Header Ads Widget

WAJASIRIAMALI KUTOKA NCHI SITA WANACHAMA WA EAC WAENDELEA KUFURAHIA FURSA ZA KIBIASHARA JIJINI MWANZA


Wajasiriamali kutoka nchi ya Burundi wakionesha bidhaa zao kwa washiriki wa maonesho ya 21 ya wajasiriamali ya Afrika Mashariki(EAC) maarufu "Jua Kali,Nguvu Kazi" yanayoendelea eneo la Rock City jijini Mwanza,wajasiriamali kutoka nchi sita wanaonesha na kuuza bidhaa zao.
Wananchi waliotembelea maonesho ya 21 ya wajasiriamali nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yanayojulikana maarufu "Jua Kali,Nguvu Kazi" yanayoendelea eneo la Rock City jijini Mwanza.
Wananchi waliotembelea maonesho ya 21 ya wajasiriamali kwenye nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) maarufu "Jua Kali,Nguvu Kazi" wakiangalia bidhaa mbalimbali zinazouzwa na wajasiriamali hao eneo la Rock City jijini Mwanza.
Mmoja wa wajasiriamali kutoka jijini Arusha akipanga bidhaa zake wakati akisubiri wateja wake eneo la Rock City jijini Mwanza ambako kunaendelea maonesho ya wajasiriamali ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) maarufu "Jua Kali,Nguvu Kazi".
Wajasiriamali kutoka nchi sita wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakionesha bidhaa zao kwa washiriki wa maonesho ya 21 ya wajasiriamali ya "Jua Kali,Nguvu Kazi" yanayoendelea eneo la Rock City jijini Mwanza.
Mmoja wa wajasiriamali kutoka mjini Moshi akionesha viatu vilivyotengezwa hapa nchini eneo la Rock City jijini Mwanza ambako kunaendelea maonesho ya wajasiriamali ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) maarufu "Jua Kali,Nguvu Kazi".
Wajasiriamali kutoka nchini Burundi wakionesha bidhaa zao kwa washiriki wa maonesho ya 21 ya wajasiriamali ya Afrika Mashariki(EAC) maarufu "Jua Kali,Nguvu Kazi" yanayoendelea eneo la Rock City jijini Mwanza.
Burudani ya utamaduni kutoka nchini Rwanda imekua kivutio kwa washiriki wa maonesho hayo yanayotarajiwa kufungwa Desemba 12,2021.

Post a Comment

0 Comments