Header Ads Widget

SHUHUDIA HAPA MAHAFALI YA DARASA LA AWALI NA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI LITTLE TREASURES


 Wahitimu wa darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures  na wahitimu wa darasa la awali wakiandamana kuelekea kwenye eneo la Sherehe za mahafali ya 5 ya darasa la saba na shule ya awali leo Ijumaa Oktoba 1,2021.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko ameongoza Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.

Mahafali hayo yamefanyika leo Ijumaa Oktoba 1,2021 katika shule hiyo iliyopo eneo la Bugayambelele katika Manispaa ya Shinyanga ambapo jumla ya wanafunzi 98 wamehitimu elimu ya darasa la saba na wanafunzi 87 wamehitimu elimu ya awali na sasa wataingia darasa la kwanza mwaka 2022.

Akizungumza, Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta amesema serikali na wanashinyanga wanajivunia uwepo wa shule ya Msingi Little Treasures ambayo imekuwa ikiupa sifa nzuri mkoa wa Shinyanga kwa kufanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa.

“Shule hii imekuwa ikitutangaza vizuri kitaifa katika matokeo ya mtihani ndiyo maana sisi serikali hatusiti kuwaunga mkono na tutaendelea kuwaunga mkono kwani nia ya serikali ni kushirikiana na sekta binafsi”,amesema Mboneko.

“Ninawapongeza pia kwa kukuza vipaji vya watoto, watoto hawa wa vipaji lakini pia darasani hawakamatiki, Kusoma na burudani pamoja na mazoezi lazima vyote vifanyike kwa ajili ya makuzi ya watoto. Nawapongeza sana kwa kulea watoto na kuwa bora”,ameongeza.

Aidha amewataka wazazi kuendelea kutilia mkazo suala la elimu kwani elimu inatengeneza watalaamu mbalimbali na watoto wanataka kutimiza ndoto zao huku akiwahimiza wazazi kuwasimamia watoto na kuwapeleka shule wkwani hakuna urithi mzuri zaidi ya elimu.

“Tukiwapeleka shule watakwenda kujitegemea, wataenda kusoma kwa bidii ili wawe na vipato , wasiwe tegemezi, pelekeni watoto shule, tuwafundishe uzalendo, tuwafundishe utamaduni pia, haya lazima wakue nayo ili waje watumikie taifa lao”,amesema.

“Little treasures wana ushirikiano mzuri na wana walimu wazuri ambao wengi wao ni vijana ambao wanaleta fikra mpya wakishirikiana na wazee. Shule hii ina uongozi thabiti, walimu wanajituma na wanajitahidi kulea na kusimamia watoto hawa, ambao ni wanyenyekevu na nidhamu kwa sababu wamefundishwa shuleni”,amesema Mboneko.

“Sisi wazazi tuna wajibu wa kuwalinda watoto hawa waliomaliza shule wasiwe wazururaji kwenye mitaa yetu na wazazi tuwaleee vizuri. Kwenye shule zetu wapo ambao kwa kiasi kikubwa kuna changamoto, naomba wazazi tujinyime na kujitahidi na kulipa ada, tulipe ada”.

“Wazazi tunajipendelea sana, kila kitchen party, upo kila sherehe upo, tuweke kipaumbele pia kwa watoto wetu, tuwalipie ada na kuwapatia mahitaji mengine. Tuhakikishe tunaweka kipaumbele kwa ajili ya watoto wetu”,amesema.

Kwa upande Mkurugenzi wa shule za Msingi na Sekondari Little Treasures, Lucy Mwita ameishukuru serikali kwa ushirikiano inaoutoa kwa shule hiyo ambapo sasa serikali imewapelekea umeme ili kupunguza gharama za uendeshaji wa shule hiyo.

Aidha amewashukuru wazazi na walezi kwa kuiamini shule hiyo na kupeleka watoto katika shule za Little Treasures.

Lucy amewataka wahitimu wa darasa la saba kuwa watoto wazuri kwa familia, jamii na mahali popote watakapokwenda huku akiwasihi wazazi na walezi kuwa karibu na watoto wao.

Meneja wa shule za Little Treasures Alfred Mwita amesema tangu shule ya Msingi Little Treasures ilipoanzishwa mwaka 2012 ikiwa na wanafunzi wanne pekee hivi sasa ina jumla ya wanafunzi 800 na imeendelea kupata wanafunzi wengi kila mwaka huku ufaulu wake ukiwa mzuri kwa kufaulisha wanafunzi wote kwa kupata daraja A tangu mwaka 2017 hadi mwaka 2020.

Amesema mbali na kuwa na shule ya Msingi Little Treasures pia wameanzisha Shule ya Sekondari Little Treasures ambapo mwaka huu 2021 jumla ya wanafunzi 25 wanahitimu kidato cha nne.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Little Treasures Paulo Kiondo amewaomba wazazi na walezi kuendelea kushirikiana na walimu katika kulea wanafunzi ili kutimiza ndoto zao huku akiwakumbusha kulipa ada kwa wakati.

ANGALIA PICHA HAPA CHINI
 Wahitimu wa darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures wakiandamana kuelekea kwenye eneo la Sherehe za mahafali ya 5 ya darasa la saba na shule ya awali leo Ijumaa Oktoba 1,2021. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
 Maandamano kuelekea kwenye eneo la Sherehe za mahafali ya 5 ya darasa la saba na shule ya awali yakiendelea
 Wahitimu wa darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures  na wahitimu wa elimu ya awali wakiandamana kuelekea kwenye eneo la Sherehe za mahafali ya 5 ya darasa la saba na shule ya awali leo Ijumaa Oktoba 1,2021.
 Wahitimu wa darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures  na wahitimu wa elimu ya awali wakiandamana kuelekea kwenye eneo la Sherehe za mahafali ya 5 ya darasa la saba na shule ya awali leo Ijumaa Oktoba 1,2021.
Wahitimu wa elimu ya awali wakiandamana kuelekea kwenye eneo la Sherehe za mahafali ya 5 ya darasa la saba na shule ya awali leo Ijumaa Oktoba 1,2021.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikata keki na watoto waliohitimu elimu ya awali leo wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikata keki na wahitimu wa elimu ya darasa la saba wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akimlisha keki mhitimu wa elimu ya awali leo wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mhitimu wa elimu ya awali akimlisha keki Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akimlisha keki mhitimu wa elimu ya darasa la saba wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akimlisha keki mhitimu wa elimu ya darasa la saba wakati wa Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la saba wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkurugenzi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Lucy Mwita akizungumza kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkurugenzi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Lucy Mwita akizungumza kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Meneja wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Alfred Mwita akizungumza kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mwenyekiti wa Bodi ya shule ya Msingi Little Treasures, Tilulindwa Sulusi akizungumza kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Little Treasures, Paulo Kiondo akizungumza kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la saba wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la awali wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la awali shule ya Msingi Little Treasures wakitoa burudani ya kucheza 
Wahitimu wa darasa la saba wakiwa wamesimama kwa ajili ya zoezi la kukabidhiwa kwa wazazi wao kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkurugenzi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Lucy Mwita akiwakabidhi Wahitimu wa darasa la saba kwa wazazi wao kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa na Wahitimu wa darasa la saba kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Msingi Little Treasures, Tilulindwa Sulusi kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Meneja wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Alfred Mwita (kulia) na Mkurugenzi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Lucy Mwita wakimkabidhi zawadi Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mkurugenzi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures, Lucy Mwita akimkabidhi zawadi Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la saba wakijiandaa kupokea vyeti kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa mhitimu wa darasa la saba kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa mhitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Little Treasures
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa mhitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Little Treasures
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa mhitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Little Treasures
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa mhitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Little Treasures
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa mhitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Little Treasures
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa wahitimu wa darasa la awali kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Mgeni rasmi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akikabidhi vyeti kwa wahitimu darasa la awali Shule ya Msingi Little Treasures
Wahitimu wa darasa la saba wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la saba wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la saba wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wahitimu wa darasa la saba wakicheza muziki
Wahitimu wa darasa la saba shule ya Msingi  Little Treasures wakisoma risala kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wanafunzi wa Kidato cha tatu Shule ya Sekondari Little Treasures wakitoa burudani
Wanafunzi wa darasa la pili wakitoa burudani
Burudani ikiendelea
Wahitimu wa darasa la saba wakiimba na kucheza muziki
Wanafunzi wa darasa la sita wakitoa burudani
Wanafunzi wa darasa la tano wakicheza muziki kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.

Wazazi wakiwa neno la shukrani kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Nabii Janeth akizungumza kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wafanyakazi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures wakicheza muziki kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wafanyakazi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures wakicheza muziki kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wafanyakazi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures wakicheza muziki kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wafanyakazi wa shule ya Msingi na Sekondari Little Treasures wakicheza muziki kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wageni waalikwa wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.
Wazazi wakiwa kwenye Mahafali ya Tano ya darasa la saba 2021 katika Shule ya Msingi Little Treasures pamoja Mahafali ya 10 shule ya awali ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 tangu kuanzishwa kwa shule ya Msingi Little Treasures.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog


Post a Comment

0 Comments