Header Ads Widget

KAULI YA BENARD MEMBE YAZUA GUMZO


Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema yuko njiani kurudi mahali fulani akishamaliza kusikiliza uamuzi wa shauri lake lililopo mahakamani Oktoba 12, mwaka huu.

Licha ya Membe kutoweka wazi mahali atakaporudi lakini inaonekana atarejea Chama cha Mapinduzi (CCM) alikovuliwa uanachama Februari 28, 2020 kwa madai ya kukiuka maadaili na mwenendo usioridhisha tangu mwaka 2014

Jana akiwa kwenye mkutano wa ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Membe alisema anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan na yupo tayari kumpigia kampeni katika Uchaguzi Mkuu 2025.
 
SOMA ZAIDI HAPA ; CHANZO MWANANCHI
 







Post a Comment

0 Comments