Header Ads Widget

MAJALIWA AINADI CCM LINDI, ASEMA TAIFA LINAMHITAJI JPM AMBAYE ANAWEZA KULINDA RASILIMALI ZA TAIFA

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Ndugu Kassim Majaliwa ameendelea na Mikutano yake ya Kampeni Kunadi Sera na Ilani ya CCM Kisha kuomba kura. Na Leo Jumapili amefanya Mkutano Mkubwa wa Kampeni Wilayani Liwale Mkoani Lindi na haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo Mkubwa. Liwale inasema ilikosea na Sasa wametubu, Oktoba 28 wanaenda na CCM tu kwa maendeleo na si ubabaishaji tena.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM





Post a Comment

0 Comments