MAGUFULI DAY: Yaliyojiri na Aliyoyaongea Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Kutoka Wilayani Karatu Mkoani Arusha Kwenye Mkutano Mkubwa wa Kampeni wa Kunadi Sera za CCM na Kuomba Kura kwa Wananchi wa Karatu. Karatu wanasema sasa imetosha na wako tayari kwa mabadiliko ya kweli kuichagua Wagombea wote wa CCM.
#KuraKwaMagufuli2020
#T2020JPM




0 Comments