Header Ads Widget

TANZANIA HATUNA CORONA, NDIYO MAANA TUNABANANA KOTE KOTE

“Mimi na Mama Samia (Mgombea Mwenza) tutafanya kampeni za ustaarabu sana, tutaheshimu Watu wote na naamini Watu wa vyama vyote watatupigia kura kwasababu maendeleo hayana chama”-JPM

“Tutafanya kampeni kwa kumtanguliza Mungu naamini atatulinda kama alivyotulinda na corona, leo Tanzania hatuna corona, ndio maana tunabana tu hapa na hata vitandani muendelee kubanana tu..nasema mbanane kwasababu aliyenitangulia amesema tutafanya kampeni kitanda kwa kitanda”-JPM