Askofu Mkuu wa Dar-es-Salaam Thaddeus Ruwa’ichi kwa masikitiko makubwa ametangaza kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo kuu la Dar-es-Salaam.
Kifo cha Cardinal Pengo kimetokea akiwa katika taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dar-es-Salaam.

