
Aliyekuwa Mgombea wa nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi hiyo, leo tarehe 7 Novemba 2025.
SOMA HAPA ZAIDI CHANZO MALUNDE1BLOG
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464