` MABAO APITISHWA RASMI NA INEC KUGOMBEA UDIWANI KATA YA NGOGWA ,ASEMA ATASHIRIKIANA NA WANANCHI

MABAO APITISHWA RASMI NA INEC KUGOMBEA UDIWANI KATA YA NGOGWA ,ASEMA ATASHIRIKIANA NA WANANCHI


Mgombea Udiwani Kata ya Ngogwa Abel Juma Mabaoakizungumza na wanchama wa Chama cha Mapinduzi (CCM)

Na Kareny Masasy,
Shinyanga

Mgombea udiwani kata ya Ngogwa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga  Abel Juma Mabao amepitishwa kugombea nafasi hiyo kupitia Chama cha Mapunduzi( CCM)

Mgombea huyo amesema hayo baada ya kuresha  fomu huku akiwataka  wananchi kuendelea kumuamini baada ya kupitishwa na kuhakikisha kuwaletea maendeleo zaidi.

"Sasa nimepitishwa na ninawaomba  wananchi  tuweze kujitokeza kwa wingi wakati wa kampeni ili kusikiliza sera na ilani ya chama changu"amesema Mabao
Viongozi wakizungumza na wananchi

                 Mgombea Udiwani Kata ya Ngogwa Abel Juma Mabao kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa ofisi za INEC akipitia fomu yake 


 

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464