Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Paul Joseph Blandy amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464