
Nilikuwa Nikiomba Mchango WhatsApp, Sasa Natoa Sponsorship ya Harusi!
Kama kuna mtu anayejua maana ya kushindwa kifedha hadi unashindwa kutuma salamu kwenye WhatsApp group, basi ni mimi. Nilikuwa yule mtu ambaye kila akikosa hela ya kodi, dawa au hata chakula, anaingia kwenye group la familia na kuandika: “Jamani, naomba msaada kidogo wa hali na mali.”
Nilikuwa na degree mkononi, lakini sikuwa na kazi. Nilihangaika huku na kule kutafuta ajira hadi nikazoea kusikia maneno kama “tutakupigia” au “tutakujulisha.” Muda ulienda, presha iliongezeka, na maisha yalikuwa yanazidi kuwa magumu kila kukicha.