` BAADA YA KUSUMBUKA SANA,DAWA HII IMENISAIDIA KUBEBA UJAUZITO

BAADA YA KUSUMBUKA SANA,DAWA HII IMENISAIDIA KUBEBA UJAUZITO


Baada ya kusumbuka sana,dawa hii imenisaidia kubeba ujauzito

Naweza kusema hakuna furaha anayokuwa nayo mwanamke kama kuitwa Mama, daima siwezi kuisahau siku ambayo nilimshika kwa mikono yangu mtoto wangu wa kwanza kwa mara ya kwanza.
Chozi la furaha lilinitoka bila mwenyewe kujua, nilijikuta nalia tu kwa furaha niliyokuwa nayo, moyo wangu ulihemewa kwa furaha ambayo ni vigumu kuelezeka na kueleweka.

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464