

Magazeti





Alikata tamaa baada ya miaka 6 ya kisukari, sasa amepona kabisa kupitia tiba ya mimea isiyo na sumu
Kwa muda wa miaka sita, maisha yangu yalibadilika kabisa baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa wa kisukari. Nilikuwa na umri wa miaka 38 wakati dalili zilipoanza uchovu wa kila mara, kiu ya kupitiliza, na mkojo wa mara kwa mara.
Nilifikiri ni uchovu wa kawaida tu wa kazi, lakini vipimo vilithibitisha nilikuwa na kisukari aina ya pili. Nilishtuka, nikavunjika moyo. Sikutegemea ugonjwa huu ambao niliusikia zaidi kwa watu wenye umri mkubwa ungenikumba mapema hivyo.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464