` TULIGOMBANA KILA SIKU BILA SABABU

TULIGOMBANA KILA SIKU BILA SABABU

Tuligombana Kila Siku Bila Sababu Hadi Tulipogundua Vitu vya Kiuganga Vilivyozikwa Nyumbani Mwetu

Kwa muda mrefu familia yetu haikuwahi kuwa na amani. Tulikuwa tunaishi kwa migogoro, matusi, na maelewano mabaya ya kila siku. Baba na mama walikuwa hawasikilizani kabisa, ndugu walikuwa maadui, na hata chakula kilikosa ladha.

Kila mmoja alijiona bora kuliko mwenzake, na tulianza kuchukiana kimya kimya hadi tukawa wageni ndani ya nyumba yetu wenyewe.

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464