Header Ads Widget

MTAYARISHAJI WA MUZIKI MASTERKRAFT AREJEA TENA MAJEED & JOEBOY

Mtayarishaji mahiri wa muziki kutoka nchini Nigeria Masterkraft ameingia studio tena na Majeed pamoja na Joeboy.

Baada ya muda mrefu kufanya vizuri na ngoma yake iitwayo Hosanna akiwa ameshirikiana na msanii Chike Masterkraft ameendelea kuwa na uchaguzi bora wa nani amshirikishe kwenye kazi zake.

Kwa mara nyingine Masterkraft ameachia ngoma yake mpya iitwayo FRUIT akiwa amewashirikisha Majeed na Joeboy.

Inapatikana katika mitandao yake yote ya kusambaza na kusikiliza muziki pamoja na unaweza kuwafatilia katika mitandao yao yote ya kijamii.

 

Post a Comment

0 Comments