Header Ads Widget

DKT. PHUMZILE ATEMBELEA OFISI ZA CAMFED JIJINI DAR ES SALAAM

 

Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akizungumza alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirika hilo leo Alhamisi Novemba 9,2023 - 
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akizungumza alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirika hilo. Kushoto ni Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka ametembelea ofisi za shirika lisilo la kiserikali linaloshughulika na Kampeni ya Elimu kwa Mtoto wa Kike (Campaign for Female Education - CAMFED) zilizopo Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirika hilo wakiongozwa na Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa.

Dkt. Phumzile ambaye ni Mgeni Maalumu katika Tamasha la 15 la Jinsia na Miaka 30 ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) linalofanyika katika viwanja vya TGNP Mabibo Jijini Dar es salaam ametembelea Shirika la CAMFED leo Alhamis Novemba 9,2023.

Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akizungumza kwenye ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog 
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akizungumza alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirika hilo. Kushoto ni Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa.
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akizungumza alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirika hilo
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akizungumza alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirika hilo
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka akifurahia jambo na Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa (kushoto).
Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kulia) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam
Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kulia) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji - Kujifunza na Ushirikiano CAMFED Tanzania , Lydia Wilbard 
Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kulia) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam
Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kulia) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji - Kujifunza na Ushirikiano CAMFED Tanzania , Lydia Wilbard 
Mkuu wa Shirika la CAMFED International  Bi. Angeline Murimirwa akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka ( wa pili kulia) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Miradi na Ushirikiano CAMFED Tanzania, Anna Sawaki akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji - Kujifunza na Ushirikiano CAMFED Tanzania , Lydia Wilbard. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu CAMFED Tanzania, Nasikiwa Duke
Mkurugenzi Mkuu CAMFED Tanzania, Nasikiwa Duke (wa pili kushoto) akizungumza akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kulia) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu CAMFED Tanzania, Nasikiwa Duke akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kushoto) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam
Mkurugenzi wa Miradi na Ushirikiano CAMFED Tanzania, Anna Sawaki akizungumza wakati Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka (kushoto) alipotembelea ofisi za shirika la CAMFED zilizopo Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka ( wa tatu kushoto) akipiga picha ya kumbukumbu na Viongozi wa Shirika la CAMFED na TGNP leo alipotembelea ofisi za CAMFED Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka ( wa tatu kushoto) akipiga picha ya kumbukumbu na Viongozi wa Shirika la CAMFED na TGNP leo alipotembelea ofisi za CAMFED Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka ( wa tatu kushoto) akipiga picha ya kumbukumbu na Viongozi wa Shirika la CAMFED na TGNP leo alipotembelea ofisi za CAMFED Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka baada ya kushuka kwenye gari akiwasili katika ofisi za Shirika la CAMFED Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka ( wa pili kulia) akipiga picha ya kumbukumbu na Viongozi wa Shirika la CAMFED alipotembelea ofisi za CAMFED Jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji - Kujifunza na Ushirikiano CAMFED Tanzania , Lydia Wilbard  akifurahia jambo na Makamu wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la UN Women Dkt. Phumzile Mlambo Ngcuka.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog



Post a Comment

0 Comments