Timu ya Simba SC imeshinda ngao ya jamii 2023 baada ya kuichapa Yanga Mikwaju ya Penati.
Simba imeshinda Mikwaju ya Penati 3-1, hivyo Simba imechukua ngao ya jamii mara ya Saba sawa na Yanga.Penati ya Mwisho ya maamuzi imepigwa na Mchezaji Jean Baleke.
Post a Comment
0
Comments
DONATE FOR RURAL NEWS
CRDB BANK ACCOUNT-01J2058535400 ,LIPA NAMBA 54269119-VODACOM
0 Comments