Header Ads Widget

WAFANYAKAZI WA BARRICK NORTH MARA WASHIRIKI MBIO ZA KILI MARATHON 2023


Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick  North Mara wakishiriki kukimbia mbio za masafa marefu
***

Wafanyakazi wa Mgodi wa Barrick North Mara, uliopo wilayani Tarime Mkoa wa Mara, wameshiriki katika mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika Mkoani Kilimanjaro ambapo baadhi yao wamemudu kukimbia mbio za masafa marefu.

Kampuni ya Barrick imekuwa na program za mazoezi kwa ajili ya kuhakikisha wafanyakazi wake wanakuwa na nguvu na afya bora.

Kila mwaka kampuni imekuwa ikiwezesha wafanyakazi wake kushiriki mashindano mbalimbali ya michezo ikiwemo mashindano ya mbio za kilomita 42 ya Bulyanhulu Healthy Lifestyle Marathon yanayofanyika kila mwaka.
Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick North Mara wakifurahia kumaliza kukimbia mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick North Mara wakifurahia kumaliza kukimbia mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick North  Mara wakifurahia kumaliza kukimbia mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick North Mara wakifurahia kumaliza kukimbia mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick North Mara wakifurahia kumaliza kukimbia mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.

Post a Comment

0 Comments