Header Ads Widget

WANAFUNZI 4 WARIPOTI SHULE PEKEE KUANZA KIDATO CHA KWANZA



Wanafunzi wanne kati ya 88 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Izumachel iliyopo wilayani Geita

Ikiwa wiki moja imepita tangu kuanza kwa msimu wa masomo mwaka 2023 Tanzania, wanafunzi wanne kati ya wanafunzi 88 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Izumachel iliyopo wilayani Geita mkoani hapo ndio walioripoti katika shule hiyo.

Shule hiyo iliyoanza mwaka 2022 ikiwa na wanafunzi 40 wa kidato cha pili hadi sasa walioripoti na kuanza masomo ni wanafunzi 26 na kufanya shule nzima kuwa na wanafunzi 30 kati ya 128 walioachaguliwa kujiunga na shule hiyo.

Soma hapa zaidi chanzo Mwananchi

Post a Comment

0 Comments