Header Ads Widget

NDEGE YA PRECISION YAANGUKIA ZIWA VICTORIA

NDEGE YA PRECISION YAANGUKIA ZIWANI

Ajali Ndege Ziwa Victoria.

Habari zilizotufikia hivi punde ni Ndege ya Kampuni la Ndege la Precision Air imeanguka katika Ziwa Victoria baada ya kushindwa kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Bukoba wakati ikijaribu kutua kwenye uwanja huo asubuhi hii leo Jumapili Novemba 6,2022.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, William Mwampaghale
amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na wanaendelea na juhudi za uokozi.

Post a Comment

0 Comments