Watu watano wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa baada ya kupata ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Wish ambayo imetokea Jana majira ya saa 10 jioni eneo la Ruguru Wilayani Itilima Mkoani Simiyu.
Watu watano wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa baada ya kupata ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Wish ambayo imetokea Jana majira ya saa 10 jioni eneo la Ruguru Wilayani Itilima Mkoani Simiyu.
Copyright (c) 2022 SHINYANGA PRESS CLUB BLOG All Right Reserved
0 Comments