Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Job Ndugai ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo ndani
ya Bunge leo Alhamisi, Januri 6, 2022 kutokana na fukuto la kisiasa
linaoendelea kufuatia kauli yake aliyoitoa kuhusu Rais Samia Suluhu
kukopa Tsh trilioni 1.3.
Post a Comment
0
Comments
MEDIA CLIMATE AND GENDER JUSTICE
CRDB BANK ACCOUNT-01J2058535400 ,LIPA NAMBA 54269119-VODACOM
0 Comments