Header Ads Widget

UJUMBE WA BALOZI WA SWEDEN KWA UMOJA WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA


Balozi wa Sweden Tanzania, Mh. Anders Sjöberg.


"Mimi kama Balozi wa Sweden ninafurahi kuwepo leo kusherekea uhuru wa habari na kujieleza. Sweden na Tanzania ni marafiki wa siku nyingi, na wote tunatambua kwamba nguzo hii, sambamba na haki ya kupata taarifa ni muhimu sana kwa jamii inayoheshimu Demokrasia na Haki za Binadamu".

"Sweden inaamini kwamba maendeleo ya nchi yoyote ile yanapatikana kwa kupeana tarifa, kujadiliana kwa uwazi, na kuwajibishana. Basi sisi tutaendelea kuungana na watanzania wote katika jitihada za kukuza na kuendeleza uhuru wa habari na kujieleza nchini". Balozi Anders Sjöberg.

Post a Comment

0 Comments