Header Ads Widget

SIMBA VS YANGA KUPIGWA JULAI 3, VIPORO VIWILI VYA SIMBA KULIWA MWANZA

 

BODI ya Ligi Tanzania Bara (TPLB) imefanya maboresho ya ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) michezo ya viporo ambayo inazihusisha timu za Namungo FC na Simba ambao bado wana mechi nyingi mkononi.

Miongoni mwa maboresho hayo, TPLB imeupangia tarehe mpya mchezo wa watani wa Jadi, Simba na Yanga ulioshindwa kufanyika Mei 8, mwaka huu ambapo sasa utachezwa Julai 3, mwaka huu.

Tazama ratiba hiyo hapa chini 




Post a Comment

0 Comments