Mzee Jengua
Msanii mkongwe wa filamu nchini Mohammed Fungafunga maarufu kama Mzee Jengua, amefariki dunia asubuhi ya leo huko Mkuranga mkoani Pwani.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa Mzee Jengua alikuwa akisumbuliwa na kiharusi.
Copyright (c) 2022 SHINYANGA PRESS CLUB BLOG All Right Reserved
0 Comments