Header Ads Widget

MUIGIZAJI MZEE JENGUA AFARIKI DUNIA

Mzee Jengua

Msanii mkongwe wa filamu nchini Mohammed Fungafunga maarufu kama Mzee Jengua, amefariki dunia asubuhi ya leo huko Mkuranga mkoani Pwani.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Mzee Jengua alikuwa akisumbuliwa na kiharusi.

Post a Comment

0 Comments