Wananchi wakiwa wamepanga foleni katika kituo cha Nyasubi Kati Kata ya Nyasubi Wilayani Kahama kwa ajili ya kupiga kura za diwani, Mbunge na Rais katika siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 28, 2020.
Picha na Patrick Mabula
Copyright (c) 2022 SHINYANGA PRESS CLUB BLOG All Right Reserved
0 Comments