
Kwa miaka mingi maisha yangu yalionekana kama mzaha wa Mungu. Nilikuwa nafanya kila kitu kwa bidii kusoma kwa juhudi, kutafuta kazi kila mahali, hata kushiriki maombi na ibada bila kukosa.
Lakini licha ya juhudi zote, sikuona mafanikio yoyote. Ilifika wakati nikaamini labda nilizaliwa tu kwa ajili ya kuteseka. Wenzangu tuliomaliza nao shule walipata kazi nzuri.