` SOMA VICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO JUNI 28,2025

SOMA VICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO JUNI 28,2025


Kishindo cha Samia





Muuguzi Apatikana na Mimba ya Mgonjwa Aliyekuwa Mahututi Wenzake Wadai ni Uchawi wa Tendo

Tukio la ajabu limezua mshangao mkubwa katika zahanati ya kijiji cha Mfulu, mkoani Morogoro, baada ya muuguzi mmoja kijana kujikuta akiwa mjamzito huku akidai baba wa mtoto ni mgonjwa aliyekuwa hajitambui kwa wiki tatu.

Wenzake walioshtuka na kilichotokea wanadai huenda ni “uchawi wa tendo la ndoa” kwa kuwa hakuna uwezekano wa kawaida kwa hali hiyo kutokea

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464