

















Kwa zaidi ya miaka miwili, nilikuwa nikisumbuliwa na vidonda vya tumbo. Kila mara nilijikuta nikipata maumivu makali sehemu ya tumbo la juu, hasa nikiwa sijala kwa muda au baada ya kula vyakula vyenye viungo.
Sikuweza tena kufurahia chakula kama watu wengine. Maisha yangu yakageuka kuwa ya masharti nisile pilipili, nisinywe kahawa, nisile chakula cha kukaanga. Ilifika hatua hadi nikawa naogopa kula.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464