` NYUMA YA PAZIA JINSI WATU WANAVYOTAJIRIKA KUPITIA BETTING

NYUMA YA PAZIA JINSI WATU WANAVYOTAJIRIKA KUPITIA BETTING


Nyuma ya pazia jinsi watu wanavyotajirika kupitia betting

Sasa baada ya kubashiri kwa miaka mingi katika soka na kila wakati kupata ushindi hafifu ulionipatia fedha ndogo, nilifikia hatua ya kukata tamaa kwani niliona ni fedha zangu tu zinaenda kutajirisha wengine na mimi kuendelea kuwa masikini.
Nilianza hii kazi ya kubashiri katika soka toka mwaka 2010 nilipomaliza kidato cha sita lakini sikuwahi kushinda zaidi ya Sh100,000 (Laki Moja) lakini nikipiga hesabu fedha zangu ambazo nimezitumia ni zaidi ya Sh2.7 Milioni.

Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464