Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba amekabidhi Kompyuta tano na Printer 1 katika Shule ya Sekondari Old Shinyanga ili kuongeza ufanisi katika ufundishaji wa masomo ya TEHAMA.
Copyright (c) 2022 SHINYANGA PRESS CLUB BLOG All Right Reserved
0 Comments